1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Suala la Zanzibar lafikishwa Umoja wa Mataifa

Mohammed Khelef20 Septemba 2016

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amepokea tamko la maandishi kutoka Muungano wa Vyama vya Kiliberali Duniani kupitia Kikao cha 33 cha Baraza la Haki za Binaadamu juu ya mkwamo wa kisiasa visiwani Zanzibar.

https://p.dw.com/p/1K5aq