1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Simu mpya zilizotengenezwa Uganda kupima homa ya COVID

Sylvia Mwehozi2 Septemba 2020

Simu mpya ya smartphone iliyozinduliwa hivi karibuni huko Uganda, imewekewa kifaa cha kupima joto na hivyo kusaidia katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona. Karibu sana katika Sema Uvume na mtayarishaji ni Sylvia Mwehozi.

https://p.dw.com/p/3htdT