1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sikiliza ujumbe wa Bobi Wine baada ya kupiga kura

14 Januari 2021

Msikilize mgombea wa Urais nchini Uganda wa chama cha Robert Kyagulanyi Ssentamu - Bobi Wine, akizungumza na waandishi habari baada ya kupiga kura yake. Bobi Wine ameitolea mwito tume ya uchaguzi Uganda kuheshimu maamuzi ya watu wa taifa hilola Afrika Mashariki.

https://p.dw.com/p/3nula