1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Shule na maeneo ya ibada yafungwa Rwanda

30 Juni 2021

Serikali ya Rwanda imezifunga shule na maeneo ya ibada pamoja na sehemu nyingine zinazowakutanisha watu wengi, kutokana na kupanda kwa maambukizi ya virus vya Covid-19. Hatua hizi zimechukuliwa hasa katika mji mkuu wa Rwanda Kigali na katika wilaya 8 za nchi hiyo. Isikilize ripoti ya Sylvanus Karemera.

https://p.dw.com/p/3vpYE