Mwanzoni alifahamika kama mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binaadamu, sasa Hassan Omar ni mwanasiasa akishikilia kiti cha useneta kutokea Mkoa wa Pwani nchini Kenya.
https://p.dw.com/p/17vdD
Kenia Wahlen Raila Odinga ÜnterstützerPicha: Will Boase/AFP/Getty Images