1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Senegal yaonesha ubabe AFCON

16 Januari 2024

Mashindano ya kombe la mataifa ya Africa AFCON yanaendelea Ivory Coast. Mabingwa watetezi Simba wa Teranga Senegal wametia alama 3 kibindoni baada ya kuicharaza Gambia mabao 3-0 katika mechi ya kundi C. Tatu Karemea amezungumza na mwanaspoti Josephat Charo kuhusu mechi hii.

https://p.dw.com/p/4bJoO