1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Samuel Eto'o atafuta sifa ndani na nje ya uwanja

Saleh Mwanamilongo
14 Januari 2022

Mmoja wa wachezaji bora barani Afrika, Samuel Eto'o sasa ni rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon. Anaorodha kubwa ya kufanya huku nchi yake ikiwa mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika.

https://p.dw.com/p/45YE3