Ili kufahamu zaidi sababu za kushindwa kwa tume huru inaysimamia mipaka na uchaguzi nchini Kenya- IEBC, kuwasajili wapigakura milioni 4.5 waliokuwa wamekusudiwa, Tatu Karema amezungumza na Martin Oloo, mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Kenya ambaye ameanza kwa kutoa tathmini ya hali hiyo. Sikiliza.