1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaRwanda

Rwanda yatuhumiwa kuwashambulia wakosoaji wake walioko nje

Sudi Mnette10 Oktoba 2023

Sikiliza mahojiano ya Sudi Mnette na Mc Dowel Kalisa Mnyarwanda anayeishi uhamishoni mjini Stockholm, Sweden, kuhusu ripoti ya HRW dhidi ya serikali ya Rwanda kwamba imekuwa ikiwaua, na kuwapoteza wakosoaji wake walio nje ya nchi hiyo kupitia kampeni ya "kuangamiza".

https://p.dw.com/p/4XMqT