1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rwanda yaingia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

4 Januari 2013

Licha ya kutuhumiwa kuwaunga mkono waasi katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda imeuanza mwaka 2013 ikiwa mjumbe wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, tukio linaloonekana kituko.

https://p.dw.com/p/17Df3
Viongozi wa Rwanda, DRC na Uganda.
Viongozi wa Rwanda, DRC na Uganda.Picha: dapd

Sekione Kitojo anazungumza na wachambuzi wa siasa za Afrika na kimataifa juu ya Rwanda kuchukua nafasi kwenye Baraza hilo la Usalama.