1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Raila atishia kuandaa maandamano dhidi ya mahakama ya juu

Rashid Chilumba16 Septemba 2022

Kiongozi wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga ameupinga uamuzi wa mahakama ya juu ya Kenya ulioidhinisha ushindi wa Wiiliam Ruto na kuwaonya majaji kutowazuia kutoa maoni akisema anaweza kuitisha maandamano ya kuwapinga majaji. Sikiliza mahojiano kati ya Rashid Chilumba na mchambuzi wa siasa kutoka Nairobi Barack Mulaka.

https://p.dw.com/p/4GxvE