1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Qayllah msichana mwenye ndoto za kuwa rais

19 Agosti 2022

Msichana mdogo mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anaamua kuuvaa uhusika na kuwahamasisha watu kuhesabiwa Na kuwatoa imani potofu juu ya hilo. Huku matamanio yake makubwa ni kuona watoto wanapata haki zao za msingi. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/4FmkQ