1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ongezeko la mashambulizi dhidi ya wanasiasa Ujerumani

Angela Mdungu
14 Mei 2024

Kumekuwa na ongezeko la mashambulizi dhidi ya wanasiasa nchini Ujerumani. Wanasiasa hao wamekuwa wakikumbana na vipigo, matusi, kuchafuliwa na hata kutishiwa vifo.

https://p.dw.com/p/4fqRf