1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ni rasmi sasa Rwanda haitoshiriki AFCON baada ya kipigo - MP3-Stereo

19 Juni 2023

Timu ya taifa ya kandanda ya Rwanda haitokuwa miongoni mwa timu zitakazoshiriki mashindano yajayo ya kuwania ubingwa wa mataifa barani Afrika AFCON baada ya kupata kichapo cha 2-0 nyumbani kwao Kigali mikononi mwa Msumbiji hapo Jumapili. Christopher Karenzi amekusanya yaliyojiri michezoni nchini humo mwishoni mwa wiki iliyokwisha.

https://p.dw.com/p/4SldC