1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ni nani wa kulaumiwa timu inaposhindwa kutamba viwanjani?

Sylvia Mwehozi24 Mei 2023

Mjadala wa leo katika Vijana Mubashara 77 Asilimia unatuama katika swali hili: Je ni nani anapaswa kubeba lawama pale timu ya soka inapofanya vibaya mwisho wa msimu na kupata matokeo mabaya? Ungana na Sylvia Mwehozi kwenye Vijana Mubashara akilitafutia swali hilo jibu.

https://p.dw.com/p/4Rlsu