1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ni miaka mitano baada ya kansela Merkel kuruhusu wakimbizi Ujerumani. Wanasemaje?

27 Agosti 2020

Miaka mitano iliyopita, Ujerumani ilitoa malazi kwa wakimbizi takriban milioni moja. Wengi miongoni mwao bado wanakumbuka nyumbani, lakini wanasema, hawatamani kurudi huko. Wasikilize baadhi yao. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/3hbBt