1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nchi 128 zaunga mkono azimio la UN kuhusu Jerusalem

Sylvia Mwehozi
22 Desemba 2017

Viongozi wa vyama vinavyotaka kujitenga Catalonia wajitangazia ushindi katika uchaguzi wa jimbo. Mataifa 128 yaunga mkono azimio la kubatilisha uamuzi wa Donald Trump juu ya Jerusalem. Na Mkataba wa amani watiwa saini Sudan Kusini baina ya pande zinazokinzana. Papo kwa Papo 22.12.2017.

https://p.dw.com/p/2pqFp