1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mzozo baina ya China na Marekani unazidi kufukuta

John Juma22 Julai 2020

Mzozo kati ya Marekani na China unazidi kutokota. Kando na Marekani kutangaza vikwazo dhidi ya China, sasa nchi hiyo imeamuru pia ubalozi mdogo wa China mjini Houston ufungwe kwa madai ya ujasusi. China tayari imesema hatua hiyo ni uchokozi wa kisiasa utakaoathiri zaidi mahusiano yao kidiplomasia. Ahmed Rajab kutoka Uingereza anatoa tathmini yake.

https://p.dw.com/p/3fhTx