1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwangaza wa Ulaya: Mitandao ya Kijamii katika vita vya Ukraine

9 Agosti 2023

Tangu kuanza kwa uvamizi wa Urusi nchini Ukraine Februari 24 mwaka jana, vita hivyo vimedhihirisha uwezo wa mitandao ya kijamii katika mzozo huo. Makala ya Mwangaza wa Ulaya inakufahamisha zaidi kuhusu umuhimu na hatari ya mitandao ya jamii, hasa katika uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Mtayarishaji ni Bakari Ubena.

https://p.dw.com/p/4UxCq