1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwandishi wa habari maarufu wa Pakistani auawa nchini Kenya

24 Oktoba 2022

Vyombo vya habari vya ndani viliripoti kwamba kuuawa kwa Ashrad Sharif na polisi ni kisa cha utambulisho usio sahihi.

https://p.dw.com/p/4Ib7J
Pakistanischer Journalist Arshad Sharif
Picha: YouTube/Arshad Sharif Official

Mwandishi habari  maarufu wa Pakistan,Arshad Sharif ameuwawa kwa kupigwa risasi kichwani usiku wa kuamkia leo katika barabara kuu ya Nairobi-Magadi nchini Kenya. Taarifa za awali zinasema Arshad Sharif aliuawawa baada ya yeye na dereva wake kukaidi amri ya  kusimamisha gari lao kwenye kizuizi kilichokuwa kimewekwa kukagua magari.