1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwandishi wa DW visiwani Zanzibar Salma Said apatikana

Khelef Mohammed Mohammed/M M T21 Machi 2016

Mwandishi wa Deutsche Welle visiwani Zanzibar, Salma Said, aliyetoweka kwenye mazingira ya kutatanisha mchana wa Ijumaa ya tarehe 18 Machi, hatimaye amepatikana. Na hapa anaielezea DW hali yake kwa sasa

https://p.dw.com/p/1IGrH