1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamke mwendesha trekta na pia mtangazaji wa redio Ghana

16 Oktoba 2020

Kilimo ndiyo kitega uchumi kikuu kwa wakaazi wengi kaskazini mwa Ghana. Hikimitu Kediri ni mtangazaji wa Habari katika redio na pia mkulima wa kwanza wa kike kupata leseni ya kuendesha trekta kaskazini mwa Ghana. Anawahimiza wanawake wengine kama yeye kufanya kilimo.

https://p.dw.com/p/3k0Nc