1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamke fundi wa kuchoma vyuma

29 Aprili 2020

Licha ya kuwa kazi ya kuchoma vyuma aghalabu hufanywa na wanaume, kwake Mwajuma Amiri hilo si hoja. yeye ni msichana pekee anayefanya kazi hiyo sawa na wanaume katika moja ya Gereji zilizopo Manispaa ya Mtwara Mikindani. Fahamu mengi kumhusu.

https://p.dw.com/p/3bYjg