1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanaharakati anaepambania elimu ya uzazi kwa wasichana

8 Aprili 2022

Anasomea taaluma ya afya kupitia fani yake anaelimisha jamii hasa wasichana wadogo juu ya hedhi salama. Anayafanya haya sababu mila na tamaduni zinaufumba ukweli juu ya elimu hii nyeti ambayo kila msichana anatakiwa kuifahamu angali mdogo ili kuwa na ustawi wa jamii ilio salama. Kwanini sasa?

https://p.dw.com/p/49fak