1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marekani yaingilia kati mgogoro huo

14 Juni 2019

Marekani na Umoja wa Afrika waiwakilisha jumuiya ya Kimataifa katika juhudi za kutafuta ufumbuzi juu ya mvutano uliopo kati ya baraza la kijeshi ,muungano wa upinzani na waandamanaji wanaozidi kushinikiza serikali ya kiraia iundwe kufanikisha mapinduzi waliyoyafanya ya kumuondowa muimla Omar al Bashir

https://p.dw.com/p/3KTrV