1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Museveni kuongoza mazungumzo ya amani Sudan Kusini

Elizabeth Shoo27 Januari 2016

Rais wa Uganda amekubali kuwa mpatanishi wa mgogoro wa Sudan Kusini baada ya kupokea ombi kutoka kwa ujumbe wa watu 15 wa kiongozi wa waasi Sudan Kusini, Riek Machar, uliomtembelea hivi karibuni.

https://p.dw.com/p/1Hkj0
Rais wa Uganda Yoweri Museveni. (c) Daniel Hayduk/AFP/Getty Images
Picha: Getty Images/AFP/D. Hayduk

[No title]

Sudi Mnette amezungumza na mchambuzi Akol Amazima aliyeko Kampala, Uganda, na kwanza akataka kujua anaizungumziaje hatua hiyo mpya ya rais Museveni.

Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.