1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaUganda

Museveni asema sheria dhidi ya LGBTQ imetafsiriwa vibaya

Lubega Emmanuel8 Juni 2023

Tamko la rais wa Uganda Yoweri Museveni kwamba sheria inayopinga mapenzi ya jinsia moja imefasiriwa vibaya limepokelewa kwa maoni mseto. Aidha, wazo lake kwamba sheria hiyo itaweza kufanyiwa mageuzi tena ili kuwahakikishia usalama watu hao linachukuliwa kama la kukanganya. Lubega Emmanuel aliarifu kwa kina kutoka Kampala.

https://p.dw.com/p/4SLpv