1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mtanziko wa Ujerumani juu ya azimio la Umoja wa Mataifa

2 Novemba 2023

Ujerumani inapenda kujiona kama taifa lenye ushawishi wa kidiplomasia ulimwenguni. Lakini hatua yake ya kutopiga kura katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa juu ya azimio la usitishwaji vita katika mzozo wa Israel na Hamas kumeiweka Berlin katika mtanziko mkubwa.

https://p.dw.com/p/4YKKq