1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msichana Jasiri:Unaitumiaje mitandao ya kijamii?

9 Septemba 2022

Neema Kaniki ni msichana anayeitoa elimu juu ya mitandao ya kijamii licha ya kuwa baadhi ya wasichana wamebaki na alama mbaya anakuwa sehemu ya kuwaelimisha na kuitumia mitandao kwa faida na kuzikamata fursa zinazopatikana mitandaoni anatamani kuwafikia vijana wengi ili wanufaike na elimu anayoitoa.

https://p.dw.com/p/4Gdz3