1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msichana Jasiri: Msichana anayechora picha kujikimu chuoni

11 Desemba 2020

Mhelepu Shilingi amewashangaza wengi baada ya kutumia muda wake wa ziada nje ya mgahawa mjini Dar Es Salaam nchini Tanzania akichora picha za watu ili kupata fedha kwa ajili ya mahitaji yake chuoni na kiasi, kwa familia yake iliyopo Morogoro. Watu wengi wamempa taji la ujasiri. Mtangazaji Chipukizi Hadija Halifa anaangazia juhudi zake.

https://p.dw.com/p/3mZBQ