1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mradi wa kukusanya taka wa Baus Taka Mombasa

15 Februari 2023

Kurunzi Wanawake leo inammulika Tayba Hatimy, ambaye aliamua kuitumia changamoto ya taka kuzagaa hovyo katika mtaa wa Old Town, mjini Mombasa, Kenya kuanzisha mradi wa Baus Taka unaotumia programu ya simu ya mkononi kwa ajili ya kukusanya taka kwenye mji huo.

https://p.dw.com/p/4NWC4