Mkutano wa SADC kuhusu mzozo wa Zimbabwe nchini Tanzania
28 Machi 2007Matangazo
Zainab Aziz alipata fursa ya kuzungumza na Profesa Chris Peter wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwanza alimuuliza iwapo kweli viongozi hao watakuwa nma ubavu wa kumshinikiza Rias Robert Mugabe ang'atuke madarakani.