Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu zimesaini makubaliano mapya kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia, huku makubaliano hayo yakisitisha mipango ya Israel ya kuzitwaa baadhi ya sehemu za Ukingo wa Magharibi. Sikiliza kipindi cha Maoni mbele ya Meza ya Duara na Josephat Charo.