1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mikakati ya Rais William Ruto kuimarisha kilimo Kenya

Wakio Mbogho20 Oktoba 2022

Makala Yetu Leo yanajikita juu ya mikakati aliyoiweka Rais Ruto ili kuimarisha kilimo, baadhi ikiwa kufufua miradi ya umwagiliaji wa maji, utoaji wa mbolea kwa bei nafuu, kilimo kwenye misitu na hatua ya hivi punde ya uzalishaji wa mazao yaliyobadilishwa vinasaba. Mtayarishi wa kipindi ni Wakio Mbogho.

https://p.dw.com/p/4IRfi