1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mihadarati yatishia mustakabali wa vijana Kano, Nigeria

28 Septemba 2022

Katika mji wa kibiashara wa Nigeria Kano, vijana ni wahanga wa mihadarati. Baadhi ya waathiriwa kama Bazooka, wanajizatiti kujirekebisha. Lakini kwa kuwa matumizi ya mihadarati yanaongezeka, bidi zaidi huhitajika kufanikisha azma hiyo. #VijanaMubashara #77Asilimia

https://p.dw.com/p/4HThp