1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Michezo: Bundesliga hali ya ubingwa bado ngumu

17 Aprili 2023

Borussia Dortmund waitupa nafasi ya kuwawekea shinikizo zaidi Bayern Munich katika kinyang'anyiro cha kuwania taji la Bundesliga, huko England Arsenal watetereka kwa wiki ya pili mfululizo huku Manchester City wakiwanyatia na wekundu wa msimbazi Simba wawaacha mahasimu wao Yanga hoi katika ligi kuu ya Tanzania. Msikilize Jacob Safari.

https://p.dw.com/p/4QCpN