Mfanyakazi wa ndege na mbunifu wa mavazi ya kitamaduni ya dirndl nchini Ujerumani, Birgit Backeler anashona barakoa katika duka lake la dirndl mjini Munich. Backeler kwa kawaida anafanya kazi katika shirika la kimataifa la ndege la Lufthansa kazi ambayo kwa sasa imesimama kufuatia vizuizi vya safari za kimataifa.#Kurunziujerumani