1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
HistoriaAfrika

Mfalme Afonso I wa Kongo aliyeshiriki biashara ya utumwa

Yusra Abdallah Buwayhid23 Desemba 2020

Mfalme Afonso I wa Ufalme wa Kongo anajulikana kwa kujenga uhusiano wa karibu na Ureno lakini kwa faida ya pande zote mbili. Baada ya kuukubali Ukristo na hata kushinikiza mtoto wake kuwa Askofu wa kwanza wa Kiafrika, Afonso anakumbukwa kwa mitazamo mchanganyiko, kwani alikubali biashara ya utumwa lakini baadaye akataka kuizuia wakati manyanyaso dhidi ya watumwa yalipokithiri.

https://p.dw.com/p/3n7uT