1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mechi za mzunguko wa sita wa Bundesliga

Sylvia Mwehozi29 Septemba 2023

Mechi za mzunguko wa sita za ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani, Bundesliga, zinaendelea mwishomi mwa juma hili, huku mabingwa watetezi Bayern Munich wakiwa na miadi na RB Leipzig katika mechi ya mwisho ya siku. Sikiliza uchambuzi wa Josephat Charo kutoka dawati la michezo.

https://p.dw.com/p/4Wyau