1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mechi za mzunguko wa 18 za Bundesliga

Sylvia Mwehozi
27 Januari 2023

Ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani Bundesliga inaendelea leo kwa mechi za mzunguko wa 18. Wakati huo huo wikiendi hii ni fainali ya mashindano makubwa ya tenis ya Australian Open huko Melbourne Park. Ungana na Sylvia Mwehozi na Josephat Charo wakichambua mechi za wikiendi hii.

https://p.dw.com/p/4MnZc