1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mauaji ya wanawake Uturuki! Kulikoni?

Iddi Ismail Ssessanga4 Agosti 2020

Kipindi cha Mwangaza wa Ulaya safari hii kinamulika mauaji dhidi ya wanawake nchini Uturuki. Inakadiriwa kuwa kwa wastani mwanamke mmoja huuawa nchini humo kila siku. Kadri siku zinavyosonga ndivyo hali inavyozidi kuwa mbaya. Hayo ni kwa mujibu wa mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini humo. Iddi Ssessanga analiangazia janga hilo pamoja na maandamano ya kuyapinga mauaji hayo.

https://p.dw.com/p/3gNj1