1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matumizi ya boti na mashua kusuluhisha msongamano wa magari Lagos

21 Januari 2022

Kufuatia msongamano mkubwa wa magari mjini Lagos ilhali kuna uwezekano wa safari ya majini, timu ya vijana 'Boatnaija' mjini humo imeamua kuweka utaratibu wa kusafiri majini katika mji huo kutumia boti. Ni jambo linalosuluhisha tatizo la msongamano wa magari barabarani lakini pia, abiria hupata nafasi ya kubarizi na kufurahia mandhari ya majini. Mengi zaidi ni kwenye Vijana Mubashara 77Asilimia.

https://p.dw.com/p/45teb