1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matumaini ya timu za Afrika Mashariki michuano ya Afcon

Sylvia Mwehozi
27 Juni 2019

Uganda imeendelea kujiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele michuano ya Afcon nchini Misri wakati DRC ikisuasua. Tanzania inakutana na Kenya na Burundi nayo haijapata ushindi. Sikiliza uchambuzi wake Fundi Sayore kuhusu matumaini ya wawakilishi wa Afrika Mashariki.

https://p.dw.com/p/3LAh1