1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaBurundi

Matukio ya Mwaka 2022 nchini Burundi

Amida Issa30 Desemba 2022

Vita dhidi ya ufisadi vilishika kasi nchini Burundi katika mwaka 2022 kufuatia juhudi za rais w anchi hiyo Evariste Ndayishimiye. Hebu tuyatupie macho na masikio baadhi ya matukio mengine yaliyoshuhudiwa nchini humo katika mwaka 2022. Amida Issa anasimulia zaidi.

https://p.dw.com/p/4LZ7U