1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaIsrael

Matangazo ya mchana ya DW Kiswahili: 23.12.2023

23 Desemba 2023

Israel imeendeleza mashambulizi yake leo katika ukanda wa Gaza, katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres atoa heshima zake kwa wafanyakazi wa Umoja huo waliouawa katika vita kwenye ukanda wa Gaza na Ufaransa imekamilisha shughuli ya kuwaondoa wanajeshi wake nchini Niger

https://p.dw.com/p/4aWZ1