Malori ya kwanza yaliobeba bidhaa za msaada yameingia Ukanda wa Gaza, viongozi kadhaa duniani wameikaribisha hatua ya kutumwa msaada wa kwanza wa kiutu kuingia Ukanda wa Gaza kupitia mpaka na Misri na mkutano wa kimataifa ulioitishwa na Misri kujadili njia za kumaliza vita kati ya Israel na kundi la Hamas umefunguliwa leo mjini Cairo