Wajumbe kutoka mataifa 57 ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu wakutana nchini Pakistan kwa mkutano kuhusu Afghanistan, wanaharakati wa upinzani nchini Sudan wapanga maandamano mapya Jumapili na aliyekuwa mwakilishi wa Uingereza katika mazungumzo ya Brexit David Frost ajiuzulu