Mahakama Kuu imebatilisha hukumu ya Hakimu mkazi Kisutu/ Umoja wa Ulaya umelikataa pendekezo la Ujerumani na Ufaransa lililoutaka Umoja huo kurejesha utaratibu wa mikutano na Rais Vladimir Putin wa Urusi /Wimbi la maambukizi ya kirusi cha Corona limerudi tena kwa kasi barani Afrika/Makaburi 751 yagunduliwa nchini Canada karibu na shule ya watoto wa kiasili