1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 19.11.2017

Yusra Buwayhid
19 Novemba 2017

Vijana wa chama tawala cha ZANU-PF cha Zimambwe wamtaka Rais Robert Mugabe na mkewe wafukuzwe chama. Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu, Saad Hariri, amesema atarejea Lebanon katika siku zijazo wakati akiwa nchini Ufaransa. Na mazungumzo ya kuunda serikali ya mseto ya Ujerumani yaendelea leo.

https://p.dw.com/p/2nstC