1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 10.12.2023

10 Desemba 2023

Israel inaendelea na mapambano yake dhidi ya Hamas Kusini mwa Gaza, Waasi wa Yemen watishia kushambulia meli zinazoelekea Israel kutokea bahari ya shamu na viongozi wa nchi za Magharibi wakutana kujadili muelekeo wa mataifa yanayokabiliwa na mapinduzi ya kijeshi

https://p.dw.com/p/4Zz9j